21.WAZO LA BIASHARA: UFUGAJI BORA NA RAHISI WA NGURUWE KIBIASHARA
Ufugaji wa nguruwe ni shughuli ya kilimo inayohusiana na kufuga nguruwe kwalengo la kupata nyama, kipato na bidhaa nyingine nk B.FAIDA YA UFUGAJI HUU 1.Haiitaji elimu KUBWA 2.Haiitaji Mtaji mkubwa sana kwenye kuanza 3.Unaweza kujiajiri bila utegenezi 4.Unaweza kuwaajiri wengine unapoona kunauhitaji 5.Wazo hili unaweza kuwafundisha wengine kwa ADA na kujiingizia kipato kizuri chenye kukizi mahitaji yako yakutosha zaidi 6.Kipatochake nikilasiku hakina msimu 7.Unaweza kuanza na nguruwe mmoja tu 8.Unaweza kuuza nyama safi iliyotenezwa 10.Unaweza kununua kununua na kuuza nguruwe 11.Unaweza kuuza Watoto wa nguruwe 12.Unaweza kupandisha nguruwe kwa MALIPO 13.Unaweza kuifanyia 14.NGURUWE wanakuwa kwa haraka miezi 2-3 unaweza kumuuza 15.Biashara ya nguruwe unaweza kuifanyia nyumbani sio na wateja wakakufuata uwaudimie 16.Kupata tenda nzuri ukiwa mwaminifu 17.Nguruwe uzaana kwa wingi watoto 8-12 18.Mradi huu unakupatia heshima na jina katika inayo kuzunguka 19....