January 01, 2026

14.WAZO LA BIASHARA: GENGE LA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

1.MAHITAJI YA SOKONI: 
Mbogamboga na matunda ni bidhaa za lazima zinazohitajika kila siku na kila kaya, hivyo kuna soko la uhakika.

2.MTAJI WAKE NI MDOGO: 
Unaweza kuanza na mtaji wa chini sana (kama elfu chache za shilingi) na kukuza hatua kwa hatua,

3.UKUWAJI WAKE UPO HIVI:
Unaweza kuanza na MTAJI MDOGO,kibanda duni au meza na baadaye kujenga genge la kisasa lenye mpangilio, kama ilivyofanywa na Mary Kawito na kuongeza wateja.

4.UBUNIFU WAKO:
Inahamasisha ubunifu katika mpangilio wa bidhaa na uwekaji wa genge ili kuvutia wateja, hata kwa kufungua genge la kisasa lenye fedha si haba, inasema Facebook.

5.AJIRA BINAFSI (KUJIAJIRI): 
Inakupa fursa ya kujiajiri na KUAJIRI WENGINE na kujipatia kipato chako mwenyewe....

TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772

No comments:

Post a Comment