January 07, 2026

21.WAZO LA BIASHARA: UFUGAJI BORA NA RAHISI WA NGURUWE KIBIASHARA

Ufugaji wa nguruwe ni shughuli ya kilimo inayohusiana na kufuga nguruwe kwalengo la kupata nyama, kipato na bidhaa nyingine nk

B.FAIDA YA UFUGAJI HUU
1.Haiitaji elimu KUBWA 
2.Haiitaji Mtaji mkubwa sana kwenye kuanza
3.Unaweza kujiajiri bila utegenezi
4.Unaweza kuwaajiri wengine unapoona kunauhitaji 
5.Wazo hili unaweza kuwafundisha wengine kwa ADA na kujiingizia kipato kizuri  chenye kukizi mahitaji yako yakutosha zaidi
6.Kipatochake nikilasiku hakina msimu
7.Unaweza kuanza na nguruwe mmoja tu
8.Unaweza kuuza nyama safi iliyotenezwa
10.Unaweza kununua kununua na kuuza nguruwe
11.Unaweza kuuza Watoto wa nguruwe
12.Unaweza kupandisha nguruwe kwa MALIPO
13.Unaweza kuifanyia
14.NGURUWE wanakuwa kwa haraka miezi 2-3 unaweza kumuuza
15.Biashara ya nguruwe unaweza kuifanyia nyumbani sio  na wateja wakakufuata uwaudimie
16.Kupata tenda nzuri ukiwa mwaminifu
17.Nguruwe uzaana kwa wingi watoto 8-12
18.Mradi huu unakupatia heshima na jina katika inayo kuzunguka
19.Soko la nguruwe ni KUBWA sana hapa Tanzania mpaka Duniani 
20.Kazi hii ufanywa kwa jinsia zote me na ke
21.Uhuru wakufanya KAZI muda wowote
22.Ubunifu wako mzuri hukuongezea wateja wengi
23.Maamuzi yote yanafanywa na wewe
24.Kuanza mjasiriamali MDOGO, WAKATI mpaka MKUBWA
:INAWEZEKANA ANZA SASA

1.TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO KWA ELIMU NA MAFUNZO YA FURSA MBALIMBALI ZA BIASHARA ILI UWEZE:
a).KUELIMIKA 
b).KUJIFUNZA
3).KUJIAJIRI
4.KAJIRI WENGINE

2.ebusol.blogspot.com
0760-240-456
0780-750-772
0659-144-660

January 06, 2026

7.WAZO LA BIASHARA: DAY-CARE ( MALEZI YA WATOTO)

Wazo hili ni wazo zuri sana la biashara, hasa kwa maeneo ya mijini ambako wazazi wengi wanakuwa  makazini, kutokakana na ubize WA wazazi Unaweza ukapata wazo la kuwasaidia kelea watotowao ikawa furasa kwako nakujiingizia KIPATO.

Maana..Wazo la Biashara: DAY CARE (Kituo cha Malezi ya Watoto)

1.DAYCARE NI NINI?
Ni biashara ya kutunza, kulea na kufundisha watoto wadogo (miezi 6 – miaka 5) wakati wazazi wao wako kazini.

2.KWANINI DAYCARE NO BIASHARA NZURI?
Mahitaji yake ni makubwa na ya kudumu
Wazazi wako tayari kulipa kila mwezi
Unaweza kuanza kwa mtaji mdogo
Inakua haraka ukitoa huduma bora

3.AINA YA DAYCARE
-Day Care ya nyumbani – Hii Unaweza ukaanzia nyumbani kwako

-Day Care ya kawaida – Hii watoto hukaa mchana tu

-Day Care + elimu ya awali (pre-school)
Hii Malezi ya Watoto na elimu ya chekechea
-Day Care ya saa nyingi (shift) – kwa wazazi wa zamu...

TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO KWA ELIMU YA UJASIRIAMALI STADI BORA ZA BIASHARA FURSA MBALIMBALI NA UWEKEZAJI
ebusol.blogspot.com
0760-240-356/0780-750-772

January 05, 2026

20.WAZO LA BIASHARA: UFUNDI CHUMA (WELDING)

HII ni taaluma (KAZI) ya kutengeneza,kuunganisha, kurekebisha au kunoa vyuma kwakutumia zana mbalimbali kamavile mashine ya kuchomelea (welding mashine), grender, Msumeno ,,,kwalengo la kutengeneza,vitanda,milango,madirisha,makabati,fensi nk

B.FAIDA YA UFUNDI HUU
1.Haiitaji elimu KUBWA 
2.Haiitaji MTAJI MKUBWA
3.Unaweza kujiajiri
4.Unaweza kuajiri wengine
5.Unaweza kufundisha JAMII na kujiingizia KIPATO chakutosha zaidi
6.Kipatochake nikilasiku
7.Unaweza KUANZA na mashine Moja tu 
8.Unaweza kuifanyia NYUMBANI na WATEJA wakakufuata uwaudimie
10.Kupata tenda nzuri ukiwa mwaminifu
11.Heshima na JINA kwa JAMII inayo kuzunguka
12.Kazi hii ufanywa kwa jinsia zote me na ke
13.Hakuna msimu maalumu wakufanya kazi
15.Uhuru wakufanya KAZI muda wowote
16.Ubunifu mzuri huongeza WATEJA wengi
17.Maamuzi yote yanafanywa na fundi
18.Kuanza mjasiriamali MDOGO, WAKATI mpaka MKUBWA

1.TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO
2.JIFUNZE JIAJIRI UMASIKINI HAUKUBALIKI
3.VITABU VYETU VINAPATIKANA SOFT NA HARD COPY

ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772/0659-144-660

January 03, 2026

19.WAZO LA BIASHARA: UFUNDI WAKUSHONA NGUO

Ni ujuzi, utaalamu wa kubuni kukata kw vipimo sahihi na kushona nguo kwakutumia vitambaa MBALIMBALI ili kutengeneza mavazi mbalimbali kamavile magauni, mashati,suruali,sketi,share,suti, nguo za harusi NK..

Ufundi huu utumia sindano ya mkono au mashine kutegemeana na nguo au kitambaa.

B.FAIDA YA UFUNDI KUSHONA NGUO
1.Haiitaji elimu KUBWA 
2.Haiitaji MTAJI MKUBWA
3.Unaweza kujiajiri
4.Unaweza kuajiri wengine
5.Unaweza kufundisha JAMII na kijiinizia KIPATO
6.Kipatochake nikilasiku
7.Unaweza KUANZA na mashine Moja tu
8.Unaweza kuifanyia NYUMBA WATEJA wakakufuata
10.Kupata tenda nzuri ukiwa mwaminifu
11.Heshima na JINA kwa JAMII inayo kuzunguka
12.Kazi hii ufanywa kwa jinsia zote
13.Hakuna msimu maalumu
15.Uhuru wakufanya KAZI
16.Ubunifu mziri huongeza WATEJA wengi
17.Maamuzi yote nayafanya fundi
18.Nk NK NK....

#TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO#
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-77

18.WAZO LA BIASHARA: UFUNDI SELEMALA (FUNDI MBAO)

A.UFAFANUZI KWAUFUPI
Huu ni utaalamu UNAWEZA kuupata kwa kusomea darasani au kujifunza kwamtu mwenye fani hiyo, utjuzi huu unahusisha kutengeneza,kurekebisha na kusanifu vitu vya MBAO pia UNAWEZA ukaunganisha, chuma nk. 

KAZI hii inahusisha kutengeneza milango,madirisha ya chuma na MBAO pia mageti

B.FAIDA ZAKE
1.Chanzo kizuri Cha MAPATO
2.Ujuzi wake wakudumu
3.Kustaafu kwake unaamua wewe
4.Kipato chake Cha uhakuka na endelevu
6.Unaweza kuajiriwa
7.Unaweza kujiajiri
8.Unaweza kuajiri wengine
9.Uhitaji wake ni mkubwa
10.Mahitaji yake yanapatikana mahali POPOTE
11.Mtaji wake sio mkubwa
12.Hauitaji elimu KUBWA
13.Ujuzi huu UNAWEZA kujifunza kwa muda mchache
14.Unaweza kuwa mjasiriamali mkubwa
15.Inakujengea heshima kwa JAMII
16.Kupata WATEJA wakudumu
17. KUpunguza ukosefu wa ajira mtaani
18.Kumudu familia......

*TUNAWAFIKIA POPOTE PALE MLIPO*
*VITABU VYETU VINAPATIKANA SOFT NA HARD COPY*
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772

January 02, 2026

17.WAZO LA BIASHARA: SALON YA KIUME

A:UTANGULIZI
Biashara ya saluni ya kike ina faida nyingi sana, hasa kwa mazingira ya Tanzania mjini na vijijini

B.FAIDA ZAKE
1.Soko lake ni kubwa na la uhakika hasa mjini.
2.Mtaji wa kuanzia ni mdogo
3.Unaweza kuanza hata kwa:
Viti 1–2
3.Faida yake hupatikana kila siku
4.Huduma zote hulipwa papo hapo
5.Hakuna kudaiwa sana
Mzunguko wa fedha ni wa haraka
6.Inaweza kuendeshwa hata nyumbani
7.Inatoa ajira KUJIAJIRI na kuajiri wengine
8.Rahisi kupanua
9.Baadaye unaweza kuongeza mafunzo
10.Biashara ya muda mrefu
11.Hujenga jina na wateja wa kudumu.

TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772
Code:lipa kwa Aitel money 140054609

16.WAZO LA BIASHARA: SALON YA KIKE

A:UTANGULIZI
Biashara ya saluni ya kike ina faida nyingi sana, hasa kwa mazingira ya Tanzania mjini na vijijini

B.FAIDA ZAKE
1.Soko lake ni kubwa na la uhakika hasa mjini.
2.Mtaji wa kuanzia ni mdogo
3.Unaweza kuanza hata kwa:
Viti 1–2
3.Faida yake hupatikana kila siku
4.Huduma zote hulipwa papo hapo
5.Hakuna kudaiwa sana
Mzunguko wa fedha ni wa haraka
6.Inaweza kuendeshwa hata nyumbani
7.Inatoa ajira KUJIAJIRI na kuajiri wengine
8.Rahisi kupanua
9.Baadaye unaweza kuongeza mafunzo
10.Biashara ya muda mrefu
11.Hujenga jina na wateja wa kudumu.

TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772
Code:lipa kwa Aitel money 140054609

January 01, 2026

16.WAZO LA BIASHARA:KUUZA SAMAKI

Biashara ya kuuza samaki ina faida kubwa kwa sababu ya mahitaji ya chakula bora na chenye protini, inaweza kufanywa kwa njia mbalimbali (reja reja/jumla, sokoni/mobile), na inaweza kuleta faida haraka kutokana na bidhaa inayohitajika sana na inayoweza kuuzwa kwa njia mbalimbali kama vile kuuza reja reja, kutengeneza bidhaa za samaki, au kufanya biashara ya simu (kufikia wateja), na pia inatoa fursa ya ajira kwa wengi. 

1.FAIDA ZA BIASHARA HII
Mahitaji ya Soko: Samaki ni chanzo muhimu cha protini na huongeza thamani katika mlo, hivyo kuna mahitaji ya kila mara kutoka kwa kaya na migahawa.

2.VYANZO VYA MAPATO:
Unaweza kuuza samaki moja kwa moja, kuwauza kwa wateja wakubwa (jumla), kuwatengenezea wateja wengine bidhaa za samaki (kama kuvuta, kukauka), au kufanya biashara ya simu kwa kuwafikia wateja popote.

2.FURSA YA AJIRA:
Biashara hii inatoa fursa ya kujiajiri na kuajiri wengine, hasa kwa kuweka mawakala sokoni au barabarani jioni.

3.UWEZO WA KUKUZA BIASHARA:
Kwa kutumia mbinu sahihi za uuzaji na kuhakikisha ubora, biashara inaweza kukua kutoka uuzaji mdogo hadi kuwa kubwa.

4.UPATIKANAJI:
Unaweza kupata samaki kutoka vyanzo mbalimbali (ziwa, bahari, kilimo) na kuuza katika mazingira mbalimbali (vijijini, mijini). 

TUNAWAFIA POPOTE MLIPO
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772

16.WAZO LA BIASHARA:MAMA NTILIE

14.WAZO LA BIASHARA: KUUZA MGAHAWA (MAMA NTILIE)
Biashara ya Mama magahawa maharufu kama mama ntilie

Hii ni moja ya biashara maarufu sana Africa mashariki na kati hasa kwenye maeneo ya mijini,mashureni,VYUOni viwandani, masokoni, stendi, maeneo ya ujenzi, na hata pembezoni mwa barabara.

BIASHARA Hii ni biashara inayohusiana na kupika na kuuza chakula kwa bei nafuu, inayolenga watu wa kipato cha kati na cha chini wakiwemo wafanyakazi,machika, madereva, wanafunzi, mafundi, na wakazi wa mtaa husika

Pamoja na kuwa biashara isiyo rasmi kwa baadhi ya maeneo, biashara ya Mama Ntilie inaleta ajira, mapato ya haraka, na inaweza kukua hadi kuwa mgahawa NK.....
TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO KWA ELIMU YA UJASIRIAMALI, STADI BORA ZA BIASHARA, FURSA NA UWEKEZAJI,
ebuaol.blogspt.com
0760-240-456/0780-750-772

14.WAZO LA BIASHARA: GENGE LA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

1.MAHITAJI YA SOKONI: 
Mbogamboga na matunda ni bidhaa za lazima zinazohitajika kila siku na kila kaya, hivyo kuna soko la uhakika.

2.MTAJI WAKE NI MDOGO: 
Unaweza kuanza na mtaji wa chini sana (kama elfu chache za shilingi) na kukuza hatua kwa hatua,

3.UKUWAJI WAKE UPO HIVI:
Unaweza kuanza na MTAJI MDOGO,kibanda duni au meza na baadaye kujenga genge la kisasa lenye mpangilio, kama ilivyofanywa na Mary Kawito na kuongeza wateja.

4.UBUNIFU WAKO:
Inahamasisha ubunifu katika mpangilio wa bidhaa na uwekaji wa genge ili kuvutia wateja, hata kwa kufungua genge la kisasa lenye fedha si haba, inasema Facebook.

5.AJIRA BINAFSI (KUJIAJIRI): 
Inakupa fursa ya kujiajiri na KUAJIRI WENGINE na kujipatia kipato chako mwenyewe....

TUNAWAFIKIA POPOTE MLIPO
ebusol.blogspot.com
0760-240-456/0780-750-772